TULIA APITISHWA KUMRITHI NDUGAI
Akiongea na wanahabari, msemaji wa chama cha mapinduzi Shaka Hamdu shaka amesema chama cha mapinduzi kimeptisha Tulia Acksoni kuwa mgombea wa kiti cha uspika wa jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed